Home Soka Kakolanya,Mlipili Waanza Dhidi Ya Namungo

Kakolanya,Mlipili Waanza Dhidi Ya Namungo

by Sports Leo
0 comments

Kocha wa klabu ya Simba sc Sven Vandebroek amewaanzisha Benno Kakolanya na Yusuph Mlipili katika mechi dhidi ya Namungo mkoani Mtwara itakayochezwa katika uwanja wa Majaliwa.Kikosi kilichoanza ni:

01. Beno Kakolanya
02. Haruna Shamte
03. Mohamed Hussein
04. Yusuph Mlipili
05. Tairone Santos
06. Said Ndemla
07. Miraji Athumani
08. Mzamiru Yassiini
09. Meddie Kagere
10. Ibrahim Ajibu
11. Francis Kahata

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited