Home Soka Kambole Aiwekea Ngumu Yanga sc

Kambole Aiwekea Ngumu Yanga sc

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Yanga sc ipo mbioni kuachana na dili la kumsajili mshambuliaji Razalus Kambole kutokana na mchezaji huyo kudai kiwango kikubwa cha mshahara wa kila mwezi.

Awali Yanga sc ilishakubaliana na klabu ya Kaizer Chiefs kuhusu kumsajili mchezaji huyo kwa mkataba wa mkopo wa mwaka mmoja huku wakiambia wakubaliane maslahi binafsi na mchezaji ambapo mchezaji alidai mshahara wa dola elfu kumi kwa mwezi kitu ambapo mabosi wa klabu hiyo hawakukubaliana nacho ikizingatiwa kuwa mchezaji alikua hachezi kwa muda mrefu.

Inadaiwa kuwa mabosi wa Yanga sc wanahitaji mshahara usiozidi dola elfu tano tu ili kutoharibu viwangi vya mishahara kwa mastaa mbalimbali klabuni hapo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited