Home Soka Kanda Afura Kuikosa Yanga

Kanda Afura Kuikosa Yanga

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa kimataifa wa DR Congo na Klabu ya Simba Deo Kanda amesema kuwà hakufurahishwa na kocha wa Simba, Sven Vanderbroeck kumtupa jukwaani kwenye mechi ya watani wa jadi iliyochezwa jumapili iliyopita na Yanga kufungwa kwa magoli 4-1.

Kanda alianza kuchukia siku ya Jumamosi Baada ya kutolewa wachezaji 8 (yeye, Kichuya, Shiboub, Mlipili, Tairone, Kipenye, Rashid na Ajibu) kwenye program ya mwisho kujiandaa na mchezo huo Baada ya kuambiwa kufanya mazoezi ya pekee Kanda aligoma kufanya mazoezi hayo na kwenda kwenye basi la timu.

@Vanforsports

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited