Mshambuliaji wa kimataifa wa DR Congo na Klabu ya Simba Deo Kanda amesema kuwà hakufurahishwa na kocha wa Simba, Sven Vanderbroeck kumtupa jukwaani kwenye mechi ya watani wa jadi iliyochezwa jumapili iliyopita na Yanga kufungwa kwa magoli 4-1.
Kanda alianza kuchukia siku ya Jumamosi Baada ya kutolewa wachezaji 8 (yeye, Kichuya, Shiboub, Mlipili, Tairone, Kipenye, Rashid na Ajibu) kwenye program ya mwisho kujiandaa na mchezo huo Baada ya kuambiwa kufanya mazoezi ya pekee Kanda aligoma kufanya mazoezi hayo na kwenda kwenye basi la timu.
@Vanforsports
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.