Mabao mawili yaliyofungwa na Deus Kaseke dakika za 26 na 56 yameipeleka klabu ya Yanga sc hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo inayodhaminiwa na kampuni ya Azam Tv.
Yanga sc baada ya kuipiga Mwadui Fc sasa itasafiri mpaka mkoani Mara ambapo itawavaa Biashara United anbayo imefanikiwa kuifunga Namungo Fc mabao 2-0 hapo jana.
Kesho ni zamu ya mabingwa watetezi wa taji hilo Simba kusaka nafasi ya kushiriki nusu fainali ambapo itamenayna na Dodoma Jiji.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.
Mchezo huo utachezwa Uwanja wa Mkapa ambapo utachezwa majira ya saa 1:00 usiku.