Home Soka Kaseke Aipeleka Yanga sc Nusu Fainali

Kaseke Aipeleka Yanga sc Nusu Fainali

by Dennis Msotwa
0 comments

Mabao mawili yaliyofungwa na Deus Kaseke dakika za 26 na 56 yameipeleka klabu ya Yanga sc hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo inayodhaminiwa na kampuni ya Azam Tv.

Yanga sc baada ya kuipiga Mwadui Fc sasa itasafiri mpaka mkoani Mara ambapo itawavaa Biashara United anbayo imefanikiwa kuifunga Namungo Fc mabao 2-0 hapo jana.

Kesho ni zamu ya mabingwa watetezi wa taji hilo Simba kusaka nafasi ya kushiriki nusu fainali ambapo itamenayna na Dodoma Jiji.

banner

Mchezo huo utachezwa Uwanja wa Mkapa ambapo utachezwa majira ya saa 1:00 usiku.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited