Home Soka Kmc Hali Tete

Kmc Hali Tete

by Sports Leo
0 comments

Timu ya soka ya Kmc imeendelea kukumbana na wakati mgumu kwenye michuano inayoshiriki msimu huu baada ya kutolewa na timu ya As kigali kwenye kombe la shirikisho barani Afrika na jana pia ipoteza mchezo wa kwanza wa ligi kuu baada ya kufungwa na Azam Fc kwa 1-0.

Bao la Azam lilipatikana dakika ya 14 likufungwa na Idd Selemani “Nado” ambapo bao hilo lilidumu mpaka mwisho wa mchezo huo uliofanyika katika uwanja wa uhuru jijini Dar es salaam.

Kmc haina budi kujipanga zaidi msimu huu hasa baada ya kuondokewa na nyota wake kadhaa akiwemo Emmanuel Mvuyekure aliyejiunga na Azam fc huku Ally Ally akienda Yanga na kocha Ettiene Ndayiragije akijiunga na Azam fc,Kmc sasa inafundishwa na Jackson Mayanja.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited