Home Soka Kmc Yachomoa Jioni

Kmc Yachomoa Jioni

by Sports Leo
0 comments

Timu ya soka ya Yanga imeshindwa kuibuka na ushindi katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya Kmc baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika mchezo wa ligi kuu uliofanyika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam.

Yanga iliandika bao dakika ya Mrisho Ngassa dakika ya 73 akimalizia kazi nzuri ya Patrick Sibomana na Kmc walisawazisha dakika ya 90+4 kwa tuta baada ya Kelvin Yondani kumuangusha  Salum Kabunda na Mwamuzi Henry Sasi kuweka penati iliyofungwa na Abdul Hilary.

Hii ni mara ya  kwanza kwa KMC kugawana pointi mbele ya Yanga kwani msimu uliopita ilifungwa nje ndani na kuacha pointi sita kwa Yanga kwenye mechi zilizochezwa uwanja wa Taifa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited