Home Soka Kmc Yapoteza

Kmc Yapoteza

by Dennis Msotwa
0 comments

Timu ya soka ya Kmc imepoteza mchezo wa ligi kuu nyumbani baada ya kufungwa 2-1 na Kagera sugar katika mchezo uliofanyika jijini Dar es salaam katika uwanja wa uhuru.

Mabao ya Kagera Sugar yaliwekwa kimiani na Awesu Ally dakika ya 25 kwa njia ya penati na Peter Mwalyanzi dakika ya 48 na kuwahakikishia vijana hao kutoka bukoba kuondoka na pointi tatu huku Kmc wakipata bao la kufutia machozi dakika Serge Alain dakika 87.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited