Home Soka Lamine Hatihati Kuwavaa Ruvu

Lamine Hatihati Kuwavaa Ruvu

by Sports Leo
0 comments

Daktari wa Yanga SC, Shecky Mngazija amesema kuwa beki wa klabu hiyo Lamine Moro huwa hachezi akiwa na maumivu bali jambo ambalo humfanya asimalize mechi huwa ni majeraha mapya ambayo hayajagundulika kabla.

Daktari huyo mkongwe kwenye tiba za michezo nchini amsema beki huyo husumbuliwa na majeraha mara kwa mara lakini sio yale ya kujirudia rudia ” Lamine amekuwa na majeraha ya mara kwa mara na baadhi hufikiri kuwa huwa anachezeshwa na maumivu lakini si kweli ”

” ndiyo maana ukiangalia rekodi zake utagundua kuwa amekuwa na majeraha tofauti ikiwemo enka, goti, bega na hii inategemeana pia ana asili ya mwili wa mtu ”

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited