Home Soka Liva Yaanza na Mkwara Epl

Liva Yaanza na Mkwara Epl

by Dennis Msotwa
0 comments

Timu ya Liverpool imeibuka na ushindi mnono wa magoli 4-1 dhidi ya Norwich City katika mchezo wa kufungua pazia la ligi kuu ya uingereza siku ya jana usiku katika mchezo uliopigwa katika uwanja wa Anfield nyumbani kwa majogoo hao.

Katika mchezo huo liva waliweka rekodi ya kufunga mabao mengi katika kipindi cha kwanza kupitia magoli ya Mo salah,Virgil Van Dijk na Divork Origi na huku goli la kujifunga la Grant Hanley lilikamilisha kalamu hiyo ya magoli manne kwa majogoo huku wageni wakipata goli kupitia kwa Teemu Pikki.

Liverpool kwa ushindi huo wanajitengenezea nafasi nzuri ya kukaa kileleni kutokana na kukusanya mtaji mkubwa wa magoli.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited