Home Soka Maproo 6 Wapya Kushiriki Kagame Yanga sc

Maproo 6 Wapya Kushiriki Kagame Yanga sc

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Yanga sc imeamua kuwashirikisha wachezaji 6 wapya itakaowatangaza kuwasajili katika kikosi kipya cha klabu hiyo kitakachoshiriki michuano ya Kagame Cup itkayofanyika nchini mapema mwezi Augusti mwaka huu.

Katika kikosi hicho kipya mastaa wa kikosi cha kwanza wamepewa mapumziko ispokua baadhi ya mastaa wakiwemo Juma Mahadhi,Balama Mapinduzi,Yassin Mustapha,Abdala shaibu,Ramadhani Kabwili na Paulo Godfrey watashiriki huku vijana 10 kutoka timu B nao wakija kuongeza nguvu.

Mastaa wapya waliosajili klabuni hapo wanatajwa kuwa na Djuma Shabani,Ibrahim Ajibu,Herritier Makambo na Fiston Mayele.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited