Home Soka Mashabiki Mwanza Wamcharukia Zahera

Mashabiki Mwanza Wamcharukia Zahera

by Sports Leo
0 comments

Baada ya kutoka sare ya bao 1-1 na Pamba fc katika mchezo wa kirafiki jijini Mwanza baadhi ya mashabiki jijini humo wameoneshwa kutofurahishwa na matokeo hayo huku pia kiwango cha timu kwa ujumla kikionesha kutowafurahisha.

Mashabiki hao ambao walionekana kuwa na hasira baada ya mchezo kumalizika na walianza moja kwa moja kumlaumu kocha Zahera kutokana na kiwango kibovu cha timu hiyo hukun pia mshambuliaji David Molinga akionekana kutowafurahisha mashabiki.

Yanga imeweka kambi kanda ya ziwa kujiandaa na mchezo wa kimataifa dhidi ya Zesco Fc mchezo wa raundi ya kwanza baada ya kufanikiwa kuwatoa Township Rollers katika mchezo wa raundi ya awali,Mechi hiyo itafanyika septemba 14 jijini Dar es salaam.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited