Klabu ya Simba imebainisha kuwa wachezaji wake wanne wa kikosi cha kwanza wanasumbuliwa na majeraha mbalimbali kipindi hiki.
Wachezaji hao ni mabeki Erasto Nyoni aliyeumia mguu katika mechi dhidi ya Namungo,Deo Kanda aliyeumia katika mechi dhidi ya Yanga huku Miraji Athumani na Mzamiru Yassin nao ikiwa wanasumbuliwa na majeraha.
Pia klabu hiyo imebainisha kwamba Shomari Kapombe na Rashidi Juma wao wanaumwa magonjwa ya kawaida na watarejea mechi ijayo.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.