Aucho,Kibwana Kuwawahi Mamelod
Baadhi ya mastaa wa klabu ya Yanga sc waliokua majeruhi wamerejea klabuni hapo kutoka katika majeraha huku tayari baadhi yao wakiwa wameungana na kikosi hicho katika mazoezi kujiandaa na mchezo huo ambao utafanyika siku ya Jumamosi machi 30 saa tatu usiku katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es salaam. Wachezaji hao ambao walikua majeruhi…
