Snapinsta.app 432702477 713750203969656 5405564879474037889 n 1080

Aucho,Kibwana Kuwawahi Mamelod

Baadhi ya mastaa wa klabu ya Yanga sc waliokua majeruhi wamerejea klabuni hapo kutoka katika majeraha huku tayari baadhi yao wakiwa wameungana na kikosi hicho katika mazoezi kujiandaa na mchezo huo ambao utafanyika siku ya Jumamosi machi 30 saa tatu usiku katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es salaam. Wachezaji hao ambao walikua majeruhi…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks