Home Soka Messi Atamba,Ronaldo Aingia Mitini

Messi Atamba,Ronaldo Aingia Mitini

by Sports Leo
0 comments

Staa wa Barcelona Lionel Messi ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa dunia kwa mara ya sita baada ya kuwashinda Virgil Van Djik na Cristiano Ronaldo ambao walishika nafasi ya pili na tatu.

Messi ametwaa tuzo hiyo baada ya kupata kura nyingi zaidi ya wenzake ambazo hupigwa na manahodha,makocha na waandishi wa habari.

Orodha ya mastaa wengine waliongoa kumi bora ni Sadio Mane,Mohamed Salah,Kyllian Mbappe,Allison Becker,Roberto Lewandowsk,Bernado Silva na Riyad Mahrez.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited