Home Soka Metacha,Shikalo watemwa Yanga

Metacha,Shikalo watemwa Yanga

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya soka ya Yanga imetangaza rasmi kuachana na magoli kipa wake wawili Metacha Mnata na Mkenya Farouk Shikalo mara baada ya kumalizika kwa mikataba yao.

Makipa hao walijunga na Yanga mwaka 2019 na wamekua wakipishana mara kwa mara kulinda lango la wananchi na kuondoka kwao kunatokana na jana Yanga kutangaza usajili wa golikipa wa kimataifa wa Mali Djigui Diarra.

Meatacha hakuonekana tena uwanjani tangu aliposimamishwa kutokana na kuwatukana mashabiki wake huku Shikalo ameshindwa kuwashawishi mabosi wake kumpa mkataba mpya.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited