Home Soka Nchimbi Aongoza Mauaji ya Gwambina

Nchimbi Aongoza Mauaji ya Gwambina

by Dennis Msotwa
0 comments

Klabu ya Yanga sc imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Gwambina katika mchezo wa ligi kuu nchini uliomalizika katika uwanja wa Mkapa Dar es salaam.

Mabao ya Ditram Nchimbi,Bakari Mwamnyeto na Saido Ntibanzokiza yalitosha kutuma salamu kwa wapinzani kuwa Yanga sc bado haijakata tamaa ya kubeba ubingwa wa ligi kuu nchini.

Awali katika michezo iliyopita dhidi ya Kmc na Biashara united timu hiyo ilifanikiwa kuvuna alama nne hivyo ushindi dhidi ya Gwambina unaifanya timu hiyo kufikisha alama 55 katika michezo 26 ikiwa kileleni mwa msimamo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited