Home Soka Nchimbi,Feisal Wanukia Misri

Nchimbi,Feisal Wanukia Misri

by Sports Leo
0 comments

Upo uwezekano mkubwa Yanga itamuuza mshambuliaji wake Ditram Nchimbi kwa klabu moja inayoshiriki ligi kuu ya Misri

Timu hiyo ambayo kwa sasa haitawekwa wazi, iko kwenye mazungumzo na uongozi wa Yanga kukamilisha usajili wake

Dili kama hilo pia litamuhusu kiungo Feisal Salum ambaye nae anaweza kutimkia nchini humo

Lakini nyota hao wametakiwa kwenda kufanya majaribio kabla ya dili zao kukamilishwa

huku bado uongozi wa Yanga ukiwa haujatoa uamuzi kamili kuhusu suala hilo

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited