Feii

Feisal Ageuka Lulu Afrika Kusini

Ripoti kutoka Afrika Kusini zinaeleza kuwa kiungo wa Azam FC,Feisal Salum yupo katika rada za klabu ya Kaizer Chiefs ambayo inanolewa na Nassredine nabi ambaye aliwahi kufanya nae kazi wakati huo wakiwa Young Africans pamoja na Cedric Kaze ambaye kwa sasa ni msaidizi wa Nabi. Inaelezwa kuwa Nabi anahitaji kuongeza nguvu katika kikosi hicho na…

Soma Zaidi
FB IMG 1727351972707

Feisal,Azam Fc Kuketi Ijumaa

Taarifa za ndani zinasema kuwa kiungonwa Azam Fc Feisal Salum atakutana na viongozi wa klabu hiyo kujadili mkataba mpya siku ya ijumaa atakaporejea Dar Es Salaam baada ya mchezo wa ligi kuu ya Nbc dhidi ya Namungo FC pale Ruangwa. Inaelezwa Feisal Salum hayupo tayari kuongeza mkataba mwingine na Azam FC kwa sasa lakini anaweza…

Soma Zaidi
418805625 18419552332052678 712782870626415348 n

Feisal Kinara Ligi Kuu

Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Azam Fc Feisal Salum amekua kinara wa ufungaji wa mabao katika ligi kuu ya Nbc msimu mpaka sasa baada ya kufanikiwa kufunga mabao 11 katika michezo 19 aliyocheza na timu yake ya Azam Fc. Katika mchezo wa Dodoma Jiji mchezaji huyo alifunga mabao mawili dakika za 63 na 64 na…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks