Home Soka Niyonzima Kuwakosa Namungo

Niyonzima Kuwakosa Namungo

by Dennis Msotwa
0 comments

Kiungo fundi wa klabu ya Yanga Haruna Niyonzima ataukosa mchezo wa leo wa ligi kuu dhidi ya Namungo Fc utakaofanyika katika uwanja wa Majaliwa mkoani Mtwara.

Kiungo huyo ataukosa mchezo huo baada ya kuwa na kadi tatu za njano alizopata katika mechi za ligi kuu hivyo kwa mujibu wa kanuni ataukosa mchezo huo kama adhabu.

Wengine watakaokosa mchezo huo ni Kelvin Yondani mwenye matatizo ya kifamilia huku Adeyun Salehe na Mohamed Issa Banka ataukosa kutokana na kuwa majeruhi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited