Kiungo Maestro wa klabu ya Yanga sc Haruna Niyonzima amesaini mkataba mpya wa kuendelea kusalia katika klabu hiyo yenye maskani yake mitaa ya Jangwani na Twiga Kariakoo baada ya ule wa awali kuelekea mwishoni.
Kuongeza mkataba kwa kiungo huyo kumetokana na mapendekezo ya kocha Cedrick Kaze kuhitaji kiungo huyo asalie kikosini licha ya kutokua na uhakika wa kuanza mara kwa mara kikosi cha kwanza.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.