Home Soka Niyonzima,Carlinhos Waikosa Simba sc

Niyonzima,Carlinhos Waikosa Simba sc

by Sports Leo
0 comments

Kocha Cedrick Kaze amethibitisha kuwa kiungo mkongwe Haruna Niyonzima na Carlos Carlinhos ni miongoni mwa mastaa wa klabu ya Yanga sc watakaoikosa derby ya Dar es salaam baina ya Yanga sc na Simba sc.

Akizungumza na waandishi wa habari kuelekea mchezo huo mkubwa nchini Kaze alisema kuwa wachezaji hao walipata majeraha huku Carlinhos akisumbuliwa na enka na Niyonzima akisumbuliwa na Maralia.

Licha ya kuanza mazoezi siku kadhaa zilizopita kocha Kaze amedai wachezaji hao wanakosa utimamu wa mwili kuweza kushiriki mchezo huo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited