Home Soka Ntibanzokiza Mtu na Nusu

Ntibanzokiza Mtu na Nusu

by Dennis Msotwa
0 comments

Staa mpya wa klabu ya Yanga sc Saido Ntibanzokiza ameendelea kudhihirisha ubora wake baada ya kuisaidia timu ya Taifa ya Burundi kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Mauritania katika kuwania kufuzu Afcon mwaka 2021.

Saido licha kuisaidia Burundi kuondoka na alama moja katika mchezo wa Awali nchini Mauritania ambapo alisawazisha bao kwa faulo na kufanya mchezo kumalizika kwa sare ya 1-1 huku akifanya maajabu katika mchezo pili nchini Burundi kwa kufunga mabao mawili katika ushindi huo wa 3-1.

Saido ni mchezaji aliyesajiliwa na Yanga sc na ataanza kuitumikia timu wakati wa dirisha dogo huku akitarajiwa kuanza mazoezi muda si mrefu baada ya kumaliza michuano ya kimataifa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited