Saido,Bocco Bye Bye Simba Sc
Baada ya kutangaza kuachana na John Bocco,Klabu ya Simba sc imeendelea kuachana na mastaa mbalimbali waliomaliza mikataba klabuni hapo ambapo leo hii imetangaza kuachana na Saido Ntibanzokiza ambaye mkataba wake umemalizika klabuni hapo. Simba sc baada ya kukosa ubingwa wa ligi kuu nchini kwa miaka mitatu mfululizo sasa imeamua kufumua kikosi chote sambamba na utawala…
