Home Soka Simba Kuifata Ndanda

Simba Kuifata Ndanda

by Sports Leo
0 comments

Kesho cha Simba kesho alfajiri kikosi kitaondoka jijini Dar es Salaam kwenda mkoani Mtwara ambako Jumapili Julai 5, 2020 kitacheza mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Ndanda FC utakaofanyika katika uwanja wa Nangwanda Sijaona.

Simba sc inaondoka kuelekea Mtwara huku tayari ikiwa imetwaa taji la ligu kuu kwa mara ya tatu mfululizo huku ikitarajiwa kuondoka na kikosi kamili isipokua beki Shomari Kapombe ambaye ni majeruhi huku Kennedy Juma nae akiwa katika hatihati.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited