Home Soka Simba sc Kuibukia Michuano Mipya

Simba sc Kuibukia Michuano Mipya

by Sports Leo
0 comments

Kamati ya utendaji ya shirikisho la soka barani Afrika (CAF) inatarajia kukutana Morocco Julai 16 kwa ajili ya kujadili mfumo wa mashindano ya CAF Super League ambapo Rais wa FIFA Gianni Infantino ametoa baraka.

Michuano hiyo inatajwa kuwa itashirikisha timu 20, hadi sasa timu 15 ndio zinatajwa kuwa zitashiriki huku timu tano zikiwa bado hazijatoa majibu ya ushiriki wao huku Kutoka Tanzania ni klabu ya Simba sc pekee ndio imetajwa kwenye orodha.

Timu zilizotajwa kushiriki hadi sasa;

banner

1.Wydad Casablanca, Raja Casablanca, RS Berkane Al Ahly, Zamalek, Pyramids,Mamelodi Sundowns, Orlando Pirates, Kaizer Chiefs,TP Mazembe, AS Vita Club,Al Hilal, Al Merrikh,Simba SC na Horoya FC.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited