Home Soka Simba sc Waifuata Polisi Mwanza

Simba sc Waifuata Polisi Mwanza

by Sports Leo
0 comments

Kikosi cha Simba kimekwea pipa mchana wa leo kwenda jijini Mwanza kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Polisi Tanzania mchezo ambao utachezwa jumamosi ya June 19 kwenye dimba la CCM kirumba.
Baada ya mchezo huo kikosi hicho kitarejea jijini Dar kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara (Vpl) dhidi ya Mbeya City mchezo ambao utachezwa jumanne ya June 22 kwenye dimba la Benjamin Mkapa.
Huku wakimaliza mchezo huo wataunganisha safari ya kwenda Songea kwa ajili ya mchezo wa nusu fainali ya kombe la shirikisho (ASFC) dhidi ya Azam mchezo ambao utachezwa June 26 kwenye dimba la Majimaji.
Cc:Mitandao ya Kijamii

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited