Home Soka Simba Wafungukia Upangaji Matokeo

Simba Wafungukia Upangaji Matokeo

by Sports Leo
0 comments

Taarifa kutoka katika vyanzo rasmi vya habari katika klabu ya Simba sc vinasema kwamba klabu hiyo imekubali kutoa ushirikiano kwa vyombo vya dola kuhusu suala la upangaji matokeo linalolalamikiwa na klabu hiyo yenye maskani yake Kariakoo jijini Dar es salaam.

Simba sc imesema kuwa ipo tayari kutoa ushirikiano kuhusu suala hilo ambalo limekua gumzo nchini kiasi cha baadhi ya viongozi wa zamani wa klabu hiyo kukamatwa na kuhojiwa katika kituo cha polisi Oysterbay.Taarifa hiyo inasomeka ifuatavyo:

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited