Home Soka Simba Wailaza Mtibwa Sugar

Simba Wailaza Mtibwa Sugar

by Dennis Msotwa
0 comments

Timu ya soka ya Simba sc imeibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya mtibwa sugar katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara uliofanyika katika uwanja wa Jamhuru mjini Morogoro.

John Bocco aliandikia Simba bao la kwanza dakika la 45 huku Nahodha msaidizi Mohamed Hussein akifunga bao la pili dakika ya 46 na kalamu ya mabao ilimalizika dakika ya 59 kwa Hassan Dilunga kuwafunga waajiri wake wa zamani.

Simba imefikisha jumla ya alama 53 na kuendelea kukaa kileleni mwa ligi kuu Tanzania bara.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited