Home Soka Solskjaer Achomoa

Solskjaer Achomoa

by Dennis Msotwa
0 comments

Mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza kati ya Tottenham Hotspur dhidi ya Manchester United umemalizika kwa sare ya bao moja na kuongeza matumaini ya kushiriki michuano ya klabu bingwa barani ulaya.

Spurs walikuwa wakwaza kupata bao bao dakika ya 32 kupitia kwa Steven Bergwin kufuatia makosa ya kipa David de Gea kabla ya Bruno Fernandes kuisawazishia United kwa mkwaju wa penati dakika 80 baada ya Paul Pogba kuangushwa na Erick Dier.

United wanasalia nafasi ya tano wakiwa na pointi 46 pungufu ya pointi mbili ili kuingia katika nafasi nne za juu.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited