Mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza kati ya Tottenham Hotspur dhidi ya Manchester United umemalizika kwa sare ya bao moja na kuongeza matumaini ya kushiriki michuano ya klabu bingwa barani ulaya.
Spurs walikuwa wakwaza kupata bao bao dakika ya 32 kupitia kwa Steven Bergwin kufuatia makosa ya kipa David de Gea kabla ya Bruno Fernandes kuisawazishia United kwa mkwaju wa penati dakika 80 baada ya Paul Pogba kuangushwa na Erick Dier.
United wanasalia nafasi ya tano wakiwa na pointi 46 pungufu ya pointi mbili ili kuingia katika nafasi nne za juu.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.