Home Soka Straika Mpya Anukia Simba sc

Straika Mpya Anukia Simba sc

by Dennis Msotwa
0 comments

Kocha wa Simba sc Patrick Aussems amesema timu hiyo lazima itaongeza mshambuliaji katika dirisha dogo la usajili baada ya kugundua upungufu katika eneo hilo.

Kocha huyo alisema hayo baada ya mechi dhidi ya mtibwa sugar ambapo timu hiyo iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 licha ya kutokua na washambuliaji wake asilia John Boko na Wilker da silva ambao ni majeruhi.

Simba imekua na wakati mgumu siku za karibuni kufuatia majeraha hayo ya washambuliaji wake  hali iliyosababisha kufanya vibaya katika michezo mbalimbali ikiwemo wa kimataifa dhidi ya Ud songo ambapo timu hiyo ilimtegemea Meddie Kagere ambaye aliwekewa ulinzi mnene.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited