Home Soka Tff Yaingilia Inshu ya Dante

Tff Yaingilia Inshu ya Dante

by Sports Leo
0 comments

Shirikisho la soka nchini (Tff) kupitia kamati ya sheria na hadhi za wachezaji kuingilia kati suala hilo ili kuhakikisha haki inatendeka.

Kamati hiyo iliwaita wahusika pande zote mbili oktoba 18 ambapo baada ya kusikiliza utetezi wa pande zote iliamuru pande hizo zimalize tofauti zao ndani ya siku 14 vinginevyo kamati itatoa uamuzi kadri itakavyoona inafaa.

Mwanasheria wa Tff Seleman Kidifu alithibitisha kufanyika kwa kikao hicho “Ni kweli tulikaa kikao siku hiyo na baada ya mivutano tukaona tuwape muda wakamalizane wao kwa wao kabla ya sisi kutoa maamuzi yetu kama wakishindwana”.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited