Home Soka Uchebe Atimuliwa Leopard

Uchebe Atimuliwa Leopard

by Sports Leo
0 comments

Kocha wa zamani wa klabu ya Simba sc Patrick Aussems ametimuliwa na klabu ya Black Leopard Fc ya nchini Afrika ya Kusini aliyojiunga nayo mwezi oktoba mwaka huu.

Kocha huyo ametimuliwa baada ya kupoteza mechi tatu mfululizo alizokua benchi huku pia ikidaiwa alikua hana maelewano na uongozi wa klabu hiyo.

Kocha huyo alikua anahitaji kuishi hotelini lakini klabu hiyo ilimpa nyumba na gari badala ya matakwa yake ya awali ya kuishi hotelini suala ambalo uchebe hakupenda na inadaiwa alishamwambia wakala wake atafute timu licha ya kuwa na mkataba wa miaka mitatu na klabu hiyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited