Home Soka Ujerumani ya kwanza kufuzu Qatar 2022

Ujerumani ya kwanza kufuzu Qatar 2022

by Sports Leo
0 comments

Timu ya Taifa ya Ujerumani imekuwa ya kwanza kufuzu michuano ya kombe la dunia 2022 nchini Qatar baada ya ushindi mnono wa magoli 4-0 ugenini dhidi ya Macedonia ya Kaskazini usiku wa kuamkia leo kwenye kundi J ukanda wa Ulaya.

Mabao mawili kutoka kwa Timo Werner na mengine ya Jamal Musiala na Kai Havertz yalitosha kuhakikisha Ujerumani inakata tiketi hiyo muhimu kwa kocha mpya wa timu hiyo Hans Flick aliyechukua mikoba ya Joachim Low.

banner

Ujerumani haikuwa katika kipindi cha mwisho chakocha Joachim Low,hivyo ujio wa Hans Flick na maingizo ya damu changa kumetoa matumaini kwa Wajerumani kufanya vizuri katika michuano ya kombe la dunia mwakani.

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited