Home Soka Usajili Wa Kisomi Msimbazi

Usajili Wa Kisomi Msimbazi

by Sports Leo
0 comments

Bosi mpya wa klabu ya Simba sc Senzo Masingizi ameahidi kufanya usajili wa kisomi klabuni hapo ili kuhakikisha timu hiyo inafanya vizuri katika ligi kuu na michuano ya kimataifa.

Bosi huyo aliyewahi kuwa mjumbe katika shirikisho la soka la Afrika kusini amesema atahakikisha anasajili wachezaji wenye viwango vikubwa ili kuhakikisha timu hiyo inafanya vizuri.

“Nitasimamia suala la usajili kuona Simba inapata wachezaji wa juu ambao watakuwa na uwezo wa kuichezea timu, kuhakikisha kuwa inatwaa ubingwa wa ligi kwa mara nyingine tena, Alisema Masingizi

banner

Bosi huyo amefanikiwa kupata nafasi hiyo ya kumrithi Crecentious Magori baada ya kuwashinda wengine saba ambao walifanyiwa usaili na timu hiyo.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited