Home Soka Viingilio Yanga,Simba Hadharani

Viingilio Yanga,Simba Hadharani

by Sports Leo
0 comments

Viingilio baina ya mchezo wa watani wa jadi Yanga sc dhidi ya Simba vimewekwa hadharani ikiwa ni siku tano kabla ya mchezo husika ambao unavuta hisia za wapenzi na mashabiki wa soka nchini.

Mchezo huo unaotarajiwa kufanyika siku ya Jumamosi Novemba 7 kiingilo cha juu katika jukwaa la watu mashuhuri(Vip A) kitakua shilingi elfu 30 huku jukwaa la V.I.P B ikiwa ni shilingi elfu 20 na V.I.P C ikiwa ni elfu 15 na sehemu ya kawaida itakua shilingi elfu 10.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited