Home Soka Wanukia Yanga Dirisha Dogo

Wanukia Yanga Dirisha Dogo

by Dennis Msotwa
0 comments

Dirisha dogo la usajili lilinataraji kufunguliwa siku ya ijumaa ya jana (Nov 15) na kufungwa December 15 mwezi ujao siku kumi kabla ya kula sikukuu ya krimasi.

Tayari Yanga SC imeanza mikakati mapema kuhakikisha inatumia dirisha hilo dogo kujenga kikosi imara kilichosheheni nyota wenye vipaji katika kila idara.

Baadhi ya nyota kama Issa Bigirimana,Mustapha Selemani,Mybin Kalengo wakiwa katika hatari ya kutemwa tayari timu hiyo yenye makao makuu mitaa ya twiga na jangwani imeanza kuwanyemelea baadhi ya mastaa kama Bakari Mwamnyeto na Ayoub Lyanga kutoka Coastal Union huku pia ikimnyatia Ditram nchimbi kuongeza makali ya safu ya ushambuliaji ya klabu hiyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited