Home Soka Yanga Kama Ulaya

Yanga Kama Ulaya

by Sports Leo
0 comments

Mkurugenzi wa uwekezaji wa GSM Hersi Saidi amebainisha kwamba hivi karibuni klabu ya Yanga itasaini Mkataba wa ushirikiano na  klabu moja kubwa kutoka nchini Hispania.

Kwa mujibu wa injinia huyo klabu hiyo iko kwenye viwango vya nafasi (4) za juu kwenye ligi kuu nchini humo yaani Laliga.

Pia amebainisha kuwa Mkataba huo utakuwa wa kushirikiana na klabu ya Yanga katika program za mazoezi, Vyumba vya kubadilishia nguo (dressing room), aina ya vifaa vitakavyo tumika mazoezini, ufundishaji,Kutafuta vipaji(scouting ).

banner

Licha ya kugoma kuitaja ambapo Amesema klabu hiyo itawekwa hadharani hivi karibuni baada ya baadhi ya mambo muhimu kukamilika.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited