Mkurugenzi wa uwekezaji wa GSM Hersi Saidi amebainisha kwamba hivi karibuni klabu ya Yanga itasaini Mkataba wa ushirikiano na klabu moja kubwa kutoka nchini Hispania.
Kwa mujibu wa injinia huyo klabu hiyo iko kwenye viwango vya nafasi (4) za juu kwenye ligi kuu nchini humo yaani Laliga.
Pia amebainisha kuwa Mkataba huo utakuwa wa kushirikiana na klabu ya Yanga katika program za mazoezi, Vyumba vya kubadilishia nguo (dressing room), aina ya vifaa vitakavyo tumika mazoezini, ufundishaji,Kutafuta vipaji(scouting ).
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.
Licha ya kugoma kuitaja ambapo Amesema klabu hiyo itawekwa hadharani hivi karibuni baada ya baadhi ya mambo muhimu kukamilika.