Home Soka Yanga Yapaa Tabora Kuwavaa Biashara

Yanga Yapaa Tabora Kuwavaa Biashara

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Yanga sc alfajiri ya leo imenza safari kuelekea mkoani Tabora kuwavaa timu ya Biashara United katika mchezo wa kombe la shirikisho nchini la Azammchezo utakaofanyika katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani humo.

Kikosi hicho kilichoondoka kina mastaa wpte isipokua Lamine Moro na Metacha Mnata waliosimamishwa kutokana na masuala ya nidhamu huku Michael Sarpong,Abdala Shaibu na Balama Mapinduzi wakiachwa kutokana na kuwa majeruhi wakati Ditram Nchimbi akiungana na kikosi baada ya kuwa na msiba.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited