Wachezaji wa Juventus wote wamelazimika kujitenga kwa ridhaa baada ya kiungo wa timu hiyo,Weston McKennie kuthibitika kukutwa na Virusi vya Corona. Weston ambaye ndiye mchezaji wa pekee wa Juventus alijiunga …
epl
-
-
Taarifa zinaeleza kuwa huenda mashabiki wa soka nchini Uingereza wanaweza kurejea tena viwanjani hivi karibuni baada ya mashabiki hao kutoa ombi lililopata saini nyingi bungeni hapo na kupangwa kujadiliwa Novemba …
-
Tetesi zinaeleza kuwa Mesut Oezil ambaye ni mzaliwa wa Uturuki na raia wa Ujerumani hajajumuishwa kwenye kikosi cha wanasoka 25 kinachotegemewa na Arsenal kwenye kampeni za Europa League msimu huu …
-
As Roma wamemsajili beki wa Manchester United,Chris Smalling kwa kandarasi ya miaka mitatu huku wakiweka mezani kiasi cha bilioni 1.9. Usajili huo ulikamilishwa na shirikisho la soka la Italia dakika …
-
Manchester United imeshushiwa mvua ya mabao 6-0 na Tottenham Hotspurs katika mchezo wa jana wa ligi kuu England uliofanyika Old Trafford na kupoteza pointi tatu muhimu mbele kikosi hicho kinachonolewa …
-
Nahodha wa Tanzania aliyejiunga na klabu ya Uturuki,Fenerbahce kwa mkopo akitokea Aston Villa,Mbwana Samatta ameanza kufanya yake kwa mara ya kwanza ndani ya klabu hiyo mpya kwa kupachika mabao 2-1 …
-
Chelsea imewapa kichapo cha mabao 4-0 Crystal Palace katika mchuano wa ligi kuu Uingereza (EPL)uliochezwa uwanjani Stamford Bridge leo Octoba 3 ,2020. Ben Chiwell ambaye ni sajili mpya ya Chelsea …
-
Mshambuliaji wa Liverpool anayefanya vizuri kimataifa na ni raia wa Senegal, Sadio Mane amekutwa na Virusi vya Corona baada ya kufanyiwa vipimo. Liverpool imeweka wazi kuwepo kwa maambukizi hayo ya …
-
Klabu aliyotoka nahodha wa kitanzania Mbwana Samatta ya huko Uingereza,Aston Villa imemsajili Ross Barkley kutoka Chelsea kwa mkopo hadi mwisho wa msimu wa 2020/2021. Kiungo huyo wa kimataifa alisajiliwa na …
-
Mchezo wa Kombe la Carabao hatua ya 16 bora uliochezwa jana uwanja wa Tottenham Hotspur kati ya Chelsea na Tottenham Hotspurs ulikuwa na ushindani mkubwa na dakika 90 zilikamilika kwa …