Miongoni mwa dili ambalo limezungumzwa kwa muda wote na halijaonesha mafanikio ndani ya Manchester united ni la Jadon Sancho ambaye ameifungia Borrusia Dortmund jumla ya mabao 20 msimu uliopita na …
epl
-
-
Kocha mkuu wa Tottenhum Hotspurs,Jose Mourinho amekiri kutokuwa na uhakika kuhusu wakati ambapo sajili mpya Gareth Bale atarejea uwanjani kusakata soka, lakini amesema anatamani mno kumpa nafasi nyota huyo nafasi …
-
Rais wa klabu ya Olympique Lyon ,Jan Michael Aulas amewambia wachezaji wote wa timu hiyo kufikia ijumaa mchezaji yeyote aliepo kwenye timu hiyo anayetaka kuondoka aondoke kabla ya siku hiyo. …
-
Derby ya Uturuki imewakutanisha jana Galatasary na Fenerbahce ambayo anaichezea nahodha wa timu ya taifa Tanzania (Taifa Stars),Mbwana Samatta na mchuano kumalizika kwa sare ya kutofungana. Samatta aliyejiunga Fenerbahce kwa …
-
Premier League msimu huu umeanza vizuri sana baada ya wikiendi iliyopita kuwepo na mtanange wa kukata na shoka,huku jumatatu ya kesho Liverpool watawakaribisha maasimu wao Arsenal katika uwanja wao wa …
-
Barcelona Imekataa Ofa ya euro 150 milioni iliyowekwa Mezani kwa klabu inayodhaniwa,Manchester United kutoka kwa wakala wa Ansu Fati ili kukamilisha usajili wake. Manchester United ilitarajia kulipa ofa hiyo kwa …
-
Tottenham Hotspurs wamepata tiketi ya moja kwa moja kushiriki hatua ya 16 bora ya Carabao Cup baada ya mchuano wa raundi ya tatu uliowataka kukutana na LeytonOrient kufutiliwa mbali. Hatua …
-
Nahodha wa Tanzania,Mbwana Samatta amefanikiwa kujiunga na klabu ya Fenerbahce ya uturuki kwa mkataba wa miaka minne akitokea Aston Villa inayoshiriki ligi kuu England. Samatta ameondoka Villa kutokana na nafasi …
-
Taarifa zinaeleza kuwa Chelsea ipo tayari kumtoa kipa wao namba moja, Kepa Arrizabalaga kwa mkopo baada ya kumpata mbadala wake ambaye ni Edouard Mendy kutoka klabu ya Rennes. Inaelezwa kuwa …
-
Kocha Mkuu wa West Ham United, David Moyes pamoja na wachezaji wawili wamekutwa na virusi vya Corona jana kabla ya kuanza raundi ya tatu ya mchezo wao wa Carabao Cup …