Ilibaki kidogo tu klabu ya Mbeya City Fc ipate alama zote tatu katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya Yanga sc lakini uzembe wa wachezaji wa klabu hiyo na kushindwa …
mbeya city fc
-
-
Kikosi cha timu ya Mbeya City Fc kiko katika maandalizi makali kuhakikisha kinachukua alama zote sita katika michezo miwili iliyobaki ya ligi kuu nchini ili kujihakikishia kutoshuka daraja. Mbeya city …
-
Beki wa kushoto wa Simba, Gadiel Michael amefungiwa mechi tatu na faini ya 500,000/= kwa kosa la kuingia uwanjani masaa sita kabla ya mchezo wa dhidi ya Mbeya City kisha akaenda …
-
Nahodha Msaidizi wa Yanga Juma Abdul amesema matokeo ya sare ya bao 1-1 dhidi ya Mbea City hawakuyatarajia, lakini ndivyo mpira ulivyo. Katika mchezo huo ambao Yanga ilitawala kila idara, …
-
Klabu ya Yanga imeshindwa kuendelea kupunguza pengo la pointi dhidi ya mahasimu wao Simba baada ya kukubali sare ya 1-1 dhidi ya Mbeya city katika mchezo uliofanyika uwanja wa taifa …
-
Mshambuliaji Tariq Seif huenda akapewa nafasi ya kuongoza safu ya ushambuliaji kwenye mchezo dhidi ya Mbeya City baada ya kupona majeraha Jana Tariq alikuwa miongoni mwa wachezaji wa akiba hata …
-
Kocha Mkuu wa Yanga Luc Eymael amesema kwenye ujao wa ligi kuu dhidi ya Mbeya City, anatarajiwa kuwapa mapumziko baadhi ya nyota ambao wamecheza mfululizo Akizungumza jana baada ya ushindi …
-
Klabu ya Simba imeendeleza wimbi la ushindi baada ya jana kuibuka na ushindi wa mabao 4 bila dhidi ya Mbeya city Fc katika mchezo wa ligi kuu uliofanyika katika uwanja …
-
Uongozi wa timu ya Alliance FC kutoka mkoani Mwanza, umeomba radhi kwa vitendo vya utovu wa nidhamu vilivyofanywa na wachezaji wao wawili Israel Patrick na John Mwanda katika mchezo wao …
-
Hatimae baada ya kilio cha muda mrefu timu ya Yanga sc imekubaliwa ombi lake la kusogezwa kwa mchezo wa ligi kuu dhidi ya Mbeya city fc ili kupisha mchezo wa …