Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga sc Stephane Aziz Ki amefanikiwa kutwaa tuzo tatu katika tuzo za ligi kuu nchini zilizotolewa na Shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) kwa wanasoka …
Tff
-
-
Shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) limesema kuwa tuzo za wachezaji na makocha waliofanya vizuri msimu huu wa ligi kuu zitatolewa mwezi Julai wakati wa michuano ya Ngao ya jamii …
-
Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga, Stephane Aziz Ki ameibuka kuwa mchezaji bora mwezi Machi msimu wa ligi kuu kwa msimu wa baada ya kutangazwa na bodi inayosimamia ligi kuu …
-
Klabu ya Al Hilal ya Sudan itawalazimu kuingia mfukoni na kulipa mamilioni ya fedha kwa ajili ya kikosi cha wachezaji 38 pamoja na benchi la ufundi ili kupata idhini ya …
-
Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu nchini Tanzania (TFF), Wallace Karia amemteua Rais wa Klabu ya Yanga Eng.Hersi Rais kuwa mjumbe wa kamati ya maandalizi ya mashindano ya Mataifa …
-
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana mei 29, 2023 ameongoza kikao cha Mawaziri wa nchi za Kenya na Uganda kwa njia ya mtandao ikiwa ni …
-
Wadau wengi wa soka nchini wamebaki midomo wazi kufuatia uteuzi wa kikosi cha Timu ya wakubwa ya Tanzania(Taifa Stars) baada ya majina makubwa mawili kutojumuishwa katika kikosi hicho ambao ni …
-
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia ametembelea kambi ya Timu ya Taifa ya wanaume U23 kuelekea mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Nigeria utakaochezwa kesho …
-
Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania(Taifa Stars) kitaingia uwanjani kuwavaa Tunisia katika mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Afcon mwaka 2021 utakaofanyika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es …
-
Habari mbaya kwa Watanzania ni kwamba nahodha wa timu ya Taifa(Taifa stars) Mbwana Samatta atakosekana katika kikosi kitakachoivaa timu ya taifa ya Tunisia katika kuwania kufuzu Afcon mwakani. Nahodha huyo …