Home Soka Yanga Ndani ya Kagame Cup Rwanda

Yanga Ndani ya Kagame Cup Rwanda

by Dennis Msotwa
0 comments

Timu ya Yanga Sc imepokea mwaliko kutoka shirikisho la soka la Afrika mashariki na kati (cecafa) kushiriki katika mashindano ya kombe la kagame kwa mwaka 2019 yatakayofanyika nchini Rwanda.

Katika barua hiyo ya mwaliko iliyosainiwa na katibu mkuu wa cecafa Nicholaus Musonye imeitaka yanga kudhibitisha ushiriki wake katika michuano hiyo itakayofanyika julai mwaka huu.
Ikumbukwe michuano hiyo hudhaminiwa na Raisi wa Rwanda Paul Kagame na hushirikisha washindi wawili wa juu wa kila ligi pamoja na timu waalikwa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited