Home Soka Sadney Aonekana Yanga

Sadney Aonekana Yanga

by Sports Leo
0 comments

Straika Mnamibia wa klabu ya Yanga Sadney Urikhob ambaye inadaiwa ametoweka klabuni hapo ameonekana katika mazoezi ya timu hiyo yaliyofanyika katika uwanja wa uhuru jijini Dar es salaam.

Awali baadhi ya vyombo vya habari viriripoti taarifa kuhusu staa huyo kutoweka katika klabu hiyo lakini leo ameonekana katika mazoezi ya kujiandaa na mchezo wa ligi kuu dhidi ya Alliance fc jijini Mwanza.

 

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited