Home Soka Hans Anukia Yanga

Hans Anukia Yanga

by Sports Leo
0 comments

Inaelezwa kuwa kocha Hans Van de Pluijm ametuma barua ya kuomba kurejea Yanga sc kama kocha mkuu kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na kocha Mwinyi Zahera.

Hans aliifundisha Yanga kwa mafaniko makubwa misimu takribani mitatu hadi hapo aliopoondoka na kumpisha George Lwandamina huku akielekea Singida United ambapo hakudumu na akajiunga na Azam Fc.

Taarifa za ndani zinadai kocha huyo ameomba kurejea Yanga na yuko tayari kufanya kazi na Mkwasa kama msaidizi wake akiwa tayari walishafanya kazi hapo awali huku ikielezwa kuwa chanzo cha kocha huyo kuomba kurudi ni upendo anaoupata kutoka kwa mashabiki na wanachama wa klabu hiyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited