Home Makala Balama Abeba Godoro La Gsm

Balama Abeba Godoro La Gsm

by Sports Leo
0 comments

Kiungo wa Yanga Mapinduzi Balama ameibuka mchezaji bora wa mechi ya watani wa jadi Simba sc na Yanga baada ya kuonyesha kiwango bora na kupelekea kupewa tuzo ya mchezaji bora kwa upande wa klabu yake.

Balama aliyefunga bao la kwanza lililoirudisha Yanga mchezoni mwanzoni mwa kipindi cha pili baada ya kuwa imetanguliwa kufungwa mabao 2.

Licha ya kufunga pia mchezaji huyo alionyesha uwezo mkubwa katika kiungo cha timu hiyo na hivyo kupewa zawadi ya godoro kutoka kwa wadhamini wa klabu hiyo kampuni ya Gsm kupitia magodoro ya Gsm Foam.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited