Home Soka Yanga,Gwambina Yahamishiwa Uhuru

Yanga,Gwambina Yahamishiwa Uhuru

by Sports Leo
0 comments

Uongozi wa klabu ya Yanga umethibitisha mabadiliko ya uwanja utakaotumika leo kwenye mchezo wa raundi ya tano kombe la FA dhidi ya Gwambina Fc.

Mchezo huo umehamishiwa uwanja wa Uhuru kutoka uwanja wa Taifa ambao ulipangwa awali huku Mabadiliko hayo yametokana na uwanja wa Taifa kufungwa kwa ajili ya matengenezo madogo madogo.

Mchezo huo utapigwa saa kumi Alasiri badala ya saa  moja usiku iliyotangazwa awali huku mshindi atafuzu hatua ya robo fainali.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited