Home Makala Niyonzima Aisaidia Yanga Kutinga Robo Fainali

Niyonzima Aisaidia Yanga Kutinga Robo Fainali

by Sports Leo
0 comments

Haruna Niyonzima ambaye ni kiungo katika timu ya wananchi Yanga Sc amekiongoza kikosi chake kutinga robo fainali baada ya kufunga bao 1-0 dhidi ya Gwambina katika uwanja wa Uhuru.

Bao la ushindi lilifungwa dakika ya 45 kabla ya kwenda mapumziko kwa shuti kali alilopiga Niyonzima akiwa nje ya 18.

Uimara wa mlinda mlango wa Yanga Metacha Mnata umesaidia kipindi cha pili cha mchezo Gwambina Fc kushindwa kurudisha bao na ushindi kubakia Yanga.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited