Home Soka Miqquisone Ateka Shoo Simba sc

Miqquisone Ateka Shoo Simba sc

by Sports Leo
0 comments

Kiungo Luis Miqquisone ameendelea kuonyesha ubora wake baada ya jana kufunga mabao mawili katika ushindi wa Simba sc dhidi ya Kmc ligi kuu Tanzania bara.

Kiungo huyo aliyesajili kutoka Ud Songo alipokua kwa mkopo alifunga mabao hayo dakika za 70 na 72 na kumfanya jumla afikishe mabao matatu katika michezo minne aliyoitumikia timu hiyo.

Ushindi huo unaifanya Simba ifikishe jumla ya pointi 64 ikiwa imecheza michezo 25 na kufanikiwa kujikita kileleni mwa msimamo wa ligi kuu.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited