Home Makala Longstaff Kupigiwa Hesabu Ac Milan

Longstaff Kupigiwa Hesabu Ac Milan

by Sports Leo
0 comments

Mkataba wa kiungo wa Newcastle United ,Matty Longstaff unameguka Juni 30 msimu huu, huku Klabu ya Ac Milan ikiwa kwenye mstari wa mbele  kuisaka saini yake.

Longstaff  yupo tayari kuongeza kandarasi nyingine iwapo klabu hiyo itakamilisha dili la kupata mmiliki mpya wa klabu hiyo.

Nyota huyo mwenye miaka 20 imeelezwa kuwa yupo tayari kufanya kazi na bosi mpya anayetajwa  kuwa mmoja ya wamiliki wa klabu hiyo ambayo ni kampuni kutoka Uarabuni.

banner

Msimu huu Longstaff  amecheza mechi 13 ambapo alianza kwenye mechi 11 amefunga mabao matatu kwenye jumla ya mashindano yote.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited